Sunday, September 18, 2011

Kutuma na kupokea SMS kupitia kwenye intaneti.

BAADA ya simu nyingi kuwa zimekwishaandikishwa ni ujinga kuzuia watu kutumiana SMS kupitia kwenye kompyuta zao.

Teknolojia hii inatufosi kuwaachia watumiaji wa intaneti kuandika kwa urahisi na bila usumbufu SMS kwenye kompyuta na kisha papo kwa kubonya dirisha-tumizi linalohitajika kuibandika SMS hiyo na kishaa baada ya kuweka namba za simu husika kuituma bila kugusa simu yako ya mkononi.

Hili ni jambo muhimu kuwapunguzia wafanyakazi wanaotumia sana simu zao kuendelea kuitumia simu bila sababu yoyote muhimu wakati wanaweza kuitumia kompyuta.

Chaji au gharama za kutuma na kupokea simu zinaweza kutoka kwa yoyote yule, yaani, kati ya mtumaji na mtumiwaji, baada ya kifungu kidogo tu cha sheria kutahadharisha juu ya fursa kama hiyo.

No comments:

Post a Comment